MUHTASARI KUHUSU KANUNI ZA ADDO The Tanzania Food

  • Slides: 10
Download presentation
MUHTASARI KUHUSU KANUNI ZA ADDO The Tanzania Food, Drugs and Cosmetics (Standard and Code

MUHTASARI KUHUSU KANUNI ZA ADDO The Tanzania Food, Drugs and Cosmetics (Standard and Code of Ethics for Duka la Dawa Muhimu) Regulations, 2004

KANUNI ZA MADUKA YA DAWA MUHIMU (ADDO) • Kanuni hizi zimetengeneza kutoka kifungu Na.

KANUNI ZA MADUKA YA DAWA MUHIMU (ADDO) • Kanuni hizi zimetengeneza kutoka kifungu Na. 122 (h) cha sheria ya Chakula, dawa na Vipodozi, 2003) • Zilichapishwa katika gazeti la serikali la 24/9/2004 • Kanuni ina sehemu saba (7) (a)Sehemu ya I: Vifungu vya mwanzo § Jina la Kanuni na tarehe ya kuanza kutumika § Mahali kanuni itakapotumika (DLDM yanapoanzishwa) § Tafsiri § Lengo na sababu ya kuanzishwa kwa DLDM

(b) Sehemu ya II: Kamati za Kitaalamu Mkoa&Wilaya § Kuundwa kwa DDTC na RDTC

(b) Sehemu ya II: Kamati za Kitaalamu Mkoa&Wilaya § Kuundwa kwa DDTC na RDTC § Wajumbe wa Kamati § Kazi na uwezo wa Kamati (c) Sehemu ya III: Taratibu za Maombi § Fomu ya maombi ya kujiunga na DLDM § Kujadili maombi katika ngazi ya kijiji § Kazi za serikali ngazi ya kata-kamati ndogo ya Afya & WDC q Kupitia maombi q Mahojiano kati ya mwombaji na kamati q Kukagua jengo

§ Kamati ya dawa ya Wilaya (DDTC) § Kutunukiwa Cheti cha Kupandishwa Hadhi (Accreditation

§ Kamati ya dawa ya Wilaya (DDTC) § Kutunukiwa Cheti cha Kupandishwa Hadhi (Accreditation Certificate) § Gharama za kulipia kibali cha DLDM na mgawanyo wa fedha kwenda RDTC na DDTC (d) Sehemu ya IV Viwango katika DLDM • Mtoa dawa § Sifa na Elimu § Majukumu ya mtoa dawa § Mkataba wa kazi

 • Mmiliki wa DLDM – Kufuata sheria – Kuwa na leseni na vibali

• Mmiliki wa DLDM – Kufuata sheria – Kuwa na leseni na vibali – Kuwa na mtoa dawa mwenye sifa • Jengo – Mahali pa kuanzisha duka – Vigezo vya jengo – Kuwa na nembo ya DLDM

§ Ubora na Utoaji wa Dawa § Kuuza dawa zilizosajiliwa § Dawa zinazoruhusiwa §

§ Ubora na Utoaji wa Dawa § Kuuza dawa zilizosajiliwa § Dawa zinazoruhusiwa § Lebo ya dawa § Nyaraka na kumbu - Rejista ya Dawa - Kitabu cha Dawa zilizoisha muda wake - Kitabu cha wakaguzi - Kitabu cha malalamiko ya wagonjwa § Vitabu vya Rejea § Orodha ya Dawa moto zilizoidhinishwa katika DLDM

§ Duka la Dawa la Jumla lenye mipaka ya kuuza Dawa (ADDO restricted Wholesale)

§ Duka la Dawa la Jumla lenye mipaka ya kuuza Dawa (ADDO restricted Wholesale) (e) Sehemu ya V: Ukaguzi § Ngazi za Ukaguzi (kata, wilaya, mkoa na TFDA) § Uteuzi wa wakaguzi § Madaraka au uwezo wa wakaguzi § Uwezo wa TFDA juu ya wakaguzi § Utumaji wa ripoti za ukaguzi katika ngazi mbali

(f) Sehemu ya VI § Maadili na Mwenendo wa Watoa Dawa na Wamiliki wa

(f) Sehemu ya VI § Maadili na Mwenendo wa Watoa Dawa na Wamiliki wa DLDM (g) Sehemu ya VII § Makosa na adhabu § Viambatanisho

2. MAPITIO (REVIEW) YA KANUNI § Umuhimu wa mapitio - Kanuni zimefanyiwa mapitio na

2. MAPITIO (REVIEW) YA KANUNI § Umuhimu wa mapitio - Kanuni zimefanyiwa mapitio na wadau wote mkoani Ruvuma ili kuboresha utekelezaji wa usambazaji wa mpango.

ASANTENI KWA KUNISIKILIZA!

ASANTENI KWA KUNISIKILIZA!